iqna

IQNA

Jamhuri ya Ireland
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi nchini Ireland imeamua kuwaruhusi maafisa wa polisi kike ambao ni Waislamu kuvaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471900    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06